
WANASIASA HASIMU WAPIGA KURA PAMOJA KAJIADO
Gavana, Kajiado na mwakilishi wa wadi, Bw. Daniel Kanchori walipiga kura katika shule ya msingi ya Kitengela Boarding walikosomea.
Aug 8, 2017 · 1 min read
Majirani hawa walipiga kura asubuhi kisha kuondoka.
Hii hapa sauti ya Dkt. Nkedienye akizungumza nami baada ya kupiga kura.
Bw. Kanchori hagombei tena kiti cha mwakilishi wa wadi mwaka huu. Alitangaza msimamo huo baada ya kutofaulu katika uchaguzi mdogo wa mchujo katika chama cha Jubilee.
Nilimwuliza anipe taswira ya jukumu hilo. Hii hapa sauti yake.
Vituo mashinani tiari vinaanza kuhesabu kura wakati wowote kutoka sasa.
